1 Samueli 13:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara tu alipokuwa anamaliza kutoa sadaka ya kuteketezwa, Samueli aliwasili. Shauli akatoka nje kwenda kumlaki Samueli na kumsalimia.

1 Samueli 13

1 Samueli 13:4-19