1 Mambo Ya Nyakati 24:7-21 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Kura ya 1 ilimwangukia Yoaribu; ya 2 Yedaya;

8. ya 3 Harimu; ya 4 Seorimu;

9. ya 5 Malkia; ya 6 Miyamini;

10. ya 7 Hakosi; ya 8 Abiya;

11. ya 9 Yeshua; ya 10 Shekania;

12. ya 11 Eliashibu; ya 12 Yakimu;

13. ya 13 Hupa; ya 14 Yeshebeabu;

14. ya 15 Bilga; ya 16 Imeri;

15. ya 17 Heziri; ya 18 Hapisesi;

16. ya 19 Pethahia; ya 20 Yehezkeli;

17. ya 21 Yakini; ya 22 Gamuli;

18. ya 23 Delaya; na ya 24 Maazia.

19. Hawa waliandikishwa kulingana na kazi zao kuingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu kutoa huduma, kadiri ya utaratibu waliowekewa na Aroni babu yao, kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli.

20. Hawa ndio wazawa wengine wa Lawi: Mmoja wa wazawa wa Amramu alikuwa Shubaeli; wa Shubaeli alikuwa Yedeya.

21. Mmoja wa wazawa wa Rehabia alikuwa Ishio kiongozi wa ukoo.

1 Mambo Ya Nyakati 24