1 Mambo Ya Nyakati 25:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Daudi na viongozi wa Walawi, waliwateua baadhi ya wana wa Asafu, wa Hemani, na wa Yeduthuni, kuongoza katika huduma ya kutabiri kwa kutumia vinubi, na vinanda na matoazi. Hii ndiyo orodha ya wale waliochaguliwa kuongoza ibada, pamoja na aina ya kazi iliyofanywa na kila kikundi.

1 Mambo Ya Nyakati 25

1 Mambo Ya Nyakati 25:1-8