1 Mambo Ya Nyakati 23:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, ulikuwa ni wajibu wao kutunza hema la mkutano na mahali patakatifu, na kuwasaidia ndugu zao makuhani, wazawa wa Aroni, kwenye ibada katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

1 Mambo Ya Nyakati 23

1 Mambo Ya Nyakati 23:30-32