1 Mambo Ya Nyakati 20:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hayo, kulitokea vita na Wafilisti huko Gezeri. Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai aliyekuwa mmojawapo wa wazawa wa Warefai; hivyo Wafilisti wakawa wameshindwa.

1 Mambo Ya Nyakati 20

1 Mambo Ya Nyakati 20:1-8