1 Mambo Ya Nyakati 20:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu aliwachukua watu wa mji huo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sururu za chuma na mashoka ya chuma. Hivyo ndivyo alivyoitenda miji yote ya Waamoni. Hatimaye Daudi na watu wote wakarudi Yerusalemu.

1 Mambo Ya Nyakati 20

1 Mambo Ya Nyakati 20:1-8