1 Mambo Ya Nyakati 20:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulitokea tena vita na Wafilisti. Naye Elhanani mwana wa Yairi alimuua Lahmi nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mpini wa mkuki wake, ulikuwa kama mti wa mfumaji.

1 Mambo Ya Nyakati 20

1 Mambo Ya Nyakati 20:2-8