1 Mambo Ya Nyakati 16:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, mfalme Daudi akawaacha Asafu na nduguze Walawi mahali walipoliweka sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu, kwa ajili ya huduma zinazotakiwa mbele ya sanduku kila siku.

1 Mambo Ya Nyakati 16

1 Mambo Ya Nyakati 16:35-40