1 Mambo Ya Nyakati 16:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Obed-edomu, mwana wa Yeduthuni, pamoja na wenzake sitini na wanane waliwasaidia. Obed-edomu mwana wa Yeduthuni na Hosa walikuwa walinzi wa malango.

1 Mambo Ya Nyakati 16

1 Mambo Ya Nyakati 16:34-43