1 Mambo Ya Nyakati 15:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakamtolea tambiko Mungu: Mafahali saba na kondoo madume saba kwa sababu aliwasaidia wale Walawi waliolibeba sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu.

1 Mambo Ya Nyakati 15

1 Mambo Ya Nyakati 15:25-29