1 Mambo Ya Nyakati 15:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alikuwa amevaa joho la kitani safi, hali kadhalika na Walawi wote waliobeba sanduku, waimbaji na Kenania kiongozi wa waimbaji. Mbali na joho hilo, Daudi alikuwa amevaa kizibao cha kitani.

1 Mambo Ya Nyakati 15

1 Mambo Ya Nyakati 15:19-29