1 Mambo Ya Nyakati 15:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi, wazee wa Waisraeli na makamanda wa maelfu, wakaenda kulichukua sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu kutoka nyumbani kwa Obed-edomu kwa shangwe.

1 Mambo Ya Nyakati 15

1 Mambo Ya Nyakati 15:17-27