Yer. 17:18 Swahili Union Version (SUV)

Na waaibike watu wanaoniudhi, lakini nisiaibike mimi; na waone hofu kuu, lakini mimi nisione hofu kuu; ulete juu yao siku ya uovu; uwaangamize maangamizo maradufu.

Yer. 17

Yer. 17:13-27