12. Shamba langu la mizabibu, lililo langu mimi, li mbele yangu.Basi, Sulemani, wewe uwe na elfu zako,Na hao wayalindao matunda yake wapewe mia mbili.
13. Wewe ukaaye bustanini,Hao rafiki huisikiliza sauti yako;Unisikizishe mimi.
14. Ukimbie, mpendwa wangu,Nawe uwe kama paa, au ayala,Juu ya milima ya manukato.