Omb. 3:41-46 Swahili Union Version (SUV)

41. Na tumwinulie Mungu aliye mbinguniMioyo yetu na mikono.

42. Sisi tumekosa na kuasi;Wewe hukusamehe.

43. Umetufunika kwa hasira na kutufuatia;Umeua, wala hukuona huruma.

44. Umejifunika nafsi yako kwa wingu,Maombi yetu yasipite.

45. Umetufanya kuwa takataka, na vifusiKatikati ya mataifa.

46. Juu yetu adui zetu woteWametupanulia vinywa vyao.

Omb. 3