Omb. 3:33-36 Swahili Union Version (SUV)

33. Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu.Wala kuwahuzunisha.

34. Kuwaseta chini kwa miguuWafungwa wote wa duniani,

35. Kuipotosha hukumu ya mtuMbele zake Aliye juu,

36. Na kumnyima mtu haki yake,Hayo Bwana hayaridhii kabisa.

Omb. 3