Zekaria 8:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivi ndivyo mnavyopaswa kufanya: Kila mmoja wenu na amwambie mwenzake ukweli. Mahakama yenu daima na yatoe hukumu za haki ziletazo amani.

Zekaria 8

Zekaria 8:8-23