Zaburi 27:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Usiniache maadui wanitende wapendavyo;maana mashahidi wa uongo wananikabili,nao wanatoa vitisho vya ukatili.

13. Naamini nitauona wema wake Mwenyezi-Mungukatika makao ya walio hai.

14. Mtegemee Mwenyezi-Mungu!Uwe na moyo, usikate tamaa!Naam, mtegemee Mwenyezi-Mungu!

Zaburi 27