Zaburi 26:7-10 Biblia Habari Njema (BHN)

7. nikiimba wimbo wa shukrani,na kusimulia matendo yako yote ya ajabu.

8. Ee Mwenyezi-Mungu, napenda makao yako,mahali unapokaa utukufu wako.

9. Usiniangamize pamoja na wenye dhambi,wala usinitupe pamoja na wauaji,

10. watu ambao matendo yao ni maovu daima,watu ambao wamejaa rushwa.

Zaburi 26