7. nikiimba wimbo wa shukrani,na kusimulia matendo yako yote ya ajabu.
8. Ee Mwenyezi-Mungu, napenda makao yako,mahali unapokaa utukufu wako.
9. Usiniangamize pamoja na wenye dhambi,wala usinitupe pamoja na wauaji,
10. watu ambao matendo yao ni maovu daima,watu ambao wamejaa rushwa.