Yoshua 15:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Eneo la nchi waliyopewa kwa kura watu wa kabila la Yuda kulingana na jamaa zake lilienea tangu kusini-mashariki hadi mpakani mwa Edomu. Sehemu ya kusini kabisa ilikuwa jangwa la Sini.

Yoshua 15

Yoshua 15:1-8