Yona 2:8-10 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Watu wanaoabudu sanamu za miungu batili,huutupilia mbali uaminifu wao kwako.

9. Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani,nitakutolea sadaka,na kutimiza nadhiri zangu.Mwenyezi-Mungu, ndiye aokoaye.”

10. Basi, Mwenyezi-Mungu akamwamuru yule samaki, naye akamtapika Yona kwenye nchi kavu.

Yona 2