Yeremia 9:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Hupinda maneno yao kama pinde;wameimarika kwa uongo na si kwa haki.Huendelea kutoka uovu hata uovu,wala hawanitambui mimi.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Yeremia 9

Yeremia 9:1-6