Yeremia 52:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Ikawa katika siku ya kumi ya mwezi wa kumi, mwaka wa tisa wa kutawala kwake Sedekia, Nebukadneza mfalme wa Babuloni, alifika na jeshi lake lote kuushambulia Yerusalemu, wakauzingira kila upande.

Yeremia 52

Yeremia 52:1-13