Yeremia 52:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia kapteni wa walinzi wa mfalme alichukua vibakuli, vyetezo, mabirika, vyungu, vinara vya taa, vijiko vikubwa na mabakuli ya sadaka za vinywaji, vyombo hivyo vikiwa vya dhahabu au vya fedha.

Yeremia 52

Yeremia 52:15-21