Yeremia 5:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Manabii wanatabiri mambo ya uongo,makuhani nao hutafuta faida yao wenyewe;na watu wangu wanaona jambo hilo kuwa sawa. Lakini mwisho utakapofika mtafanyaje?”

Yeremia 5

Yeremia 5:30-31