Yeremia 49:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Inuka uende kulishambulia taifa linalostarehe,taifa linaloishi kwa usalama.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.Taifa hilo halina malango wala pao za chuma;ni taifa ambalo liko peke yake.

Yeremia 49

Yeremia 49:30-34