Yeremia 48:44 Biblia Habari Njema (BHN)

Atakayetoroka kitishoatatumbukia shimoni;atakayetoka shimoniatanaswa mtegoni.Kwa maana nitaleta mambo hayo juu ya Moabu,katika mwaka wao wa adhabu.Nasema mimi Mwenyezi-Mungu.

Yeremia 48

Yeremia 48:34-47