Yeremia 47:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Hiyo ni siku ya kuwaangamiza Wafilisti wote,kukomesha msaada uliobakia kutoka Tiro na Sidoni.Maana Mwenyezi-Mungu anawaangamiza Wafilisti,watu waliosalia wa kisiwa cha Kaftori.

Yeremia 47

Yeremia 47:1-7