Yeremia 34:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu hao ndio hao maofisa wa Yuda, maofisa wa mji wa Yerusalemu, matowashi, makuhani, pamoja na wananchi wote waliopita katikati ya sehemu mbili za yule ndama.

Yeremia 34

Yeremia 34:9-22