Yeremia 34:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu waliovunja agano langu na kukataa kufuata masharti ya agano walilofanya mbele yangu, nitawafanya kama yule ndama waliyemkata sehemu mbili na kupita katikati yake.

Yeremia 34

Yeremia 34:13-20