Yeremia 30:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Mbona unalia juu ya jeraha lako?Maumivu yako hayaponyeki.Nimekutendea hayo yote,kwa sababu kosa lako ni kubwa,dhambi zako ni nyingi mno.

Yeremia 30

Yeremia 30:9-24