Yeremia 25:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Ombolezeni enyi wachungaji;lieni na kugaagaa majivuni enyi wakuu wa kundi;siku za kuchinjwa kwenu na kutawanywa zimefika;mtauawa kama kondoo madume waliochaguliwa.

Yeremia 25

Yeremia 25:32-37