Yeremia 25:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo, watakaouawa na Mwenyezi-Mungu watatapakaa kutoka upande mmoja wa dunia hadi mwingine. Hawataombolezewa, hawatakusanywa wala kuzikwa; watabaki kuwa mavi juu ya ardhi.

Yeremia 25

Yeremia 25:31-38