Yeremia 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Na kwa upande wako wewe Pashuri, pamoja na nyumba yako yote, mtapelekwa utumwani; hakika mtakwenda Babuloni. Huko ndiko utakakofia na kuzikwa, kadhalika na rafiki zako wote ambao uliwatabiria uongo.’”

Yeremia 20

Yeremia 20:2-12