Yeremia 15:20-21 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Mbele ya watu hawa,nitakufanya ukuta imara wa shaba.Watapigana nawe,lakini hawataweza kukushinda,maana, mimi niko pamoja nawe,kukuokoa na kukukomboa.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

21. Nitakuokoa mikononi mwa watu waovu,na kukukomboa makuchani mwa wakatili.”

Yeremia 15