Yeremia 12:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema,“Ikiwa umeshindana na waendao kwa miguu ukachoka,utawezaje kushindana na farasi?Kama unaanguka katika nchi isiyo na vizuizi,utafanyaje katika msitu wa Yordani?

Yeremia 12

Yeremia 12:1-13