Yeremia 12:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wewe ee Mwenyezi-Mungu wanijua;wayathibiti maelekeo yangu kwako.Uwaokote hao kama kondoo wa kuchinjwa,watenge kwa ajili ya wakati wa kuuawa.

Yeremia 12

Yeremia 12:1-12