Yeremia 11:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndiyo maana Mwenyezi-Mungu wa majeshi anacho cha kusema juu ya watu wa Anathothi ambao wanataka kuniua na kuniambia: “Usitoe unabii kwa jina la Mwenyezi-Mungu, la sivyo tutakuua.”

Yeremia 11

Yeremia 11:18-23