Wimbo Ulio Bora 8:8-11 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Tunaye dada mdogo,ambaye bado hajaota matiti.Je, tumfanyie nini dada yetusiku atakapoposwa?

9. Kama angalikuwa ukuta,tungalimjengea mnara wa fedha;na kama angalikuwa mlango,tungalimhifadhi kwa mbao za mierezi.

10. Mimi nalikuwa ukuta,na matiti yangu kama minara yake.Machoni pake nalikuwakama mwenye kuleta amani.

11. Solomoni alikuwa ana shamba la mizabibu,mahali paitwapo Baal-hamoni.Alilikodisha kwa walinzi;kila mmoja wao alilipa vipande elfu vya fedha.

Wimbo Ulio Bora 8