Walawi 8:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose akamchinja. Akachukua damu ya kondoo huyo na kumpaka Aroni kwenye ncha ya sikio lake la kulia, kidole gumba cha mkono wake wa kulia na cha mguu wake wa kulia.

Walawi 8

Walawi 8:15-31