Walawi 6:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani aliye mzawa wa Aroni ambaye amepakwa mafuta kushika nafasi yake atamtolea Mwenyezi-Mungu sadaka hiyo; hilo ni agizo la milele. Sadaka yote itateketezwa.

Walawi 6

Walawi 6:18-30