Walawi 6:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Unga huo utachanganywa na mafuta na kuokwa; kisha utauleta ukiwa vipandevipande na kumtolea Mwenyezi-Mungu; na harufu ya sadaka yake itampendeza Mungu.

Walawi 6

Walawi 6:18-25