Walawi 21:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini asilikaribie lile pazia wala ile madhabahu kwani ana dosari, asije akapatia unajisi mahali patakatifu; kwa kuwa mimi Mwenyezi-Mungu ndiye ninayewaweka wakfu.”

Walawi 21

Walawi 21:15-24