Walawi 19:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Msirudie kukusanya kila kitu katika shamba la mizabibu, wala usiokote zabibu zilizoanguka chini; utawaachia maskini na wageni. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.

Walawi 19

Walawi 19:1-13