Walawi 14:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani atatolea ile sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka juu ya madhabahu. Hivyo kuhani atamfanyia huyo mtu ibada ya upatanisho, naye atakuwa safi.

Walawi 14

Walawi 14:18-24