Walawi 14:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani atatolea sadaka ya kuondoa dhambi na kumfanyia huyo mtu anayetakaswa ibada ya upatanisho ili kumwondolea unajisi wake. Kisha atamchinja mwanakondoo wa sadaka ya kuteketezwa.

Walawi 14

Walawi 14:9-28