Walawi 11:40 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu yeyote akila nyama ya mzoga huo atafua mavazi yake na atakuwa najisi mpaka jioni. Na yeyote atakayebeba mzoga huo, atafua mavazi yake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

Walawi 11

Walawi 11:36-47