Walawi 1:3 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama sadaka anayotoa mtu ni ya kuteketezwa, atamchagua mnyama dume asiye na dosari kutoka kundi lake, atamtolea mbele ya mlango wa hema la mkutano ili apate fadhili ya Mwenyezi-Mungu;

Walawi 1

Walawi 1:1-8