Waebrania 8:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na babu zaosiku nilipowaongoza kwa mkono kutoka Misri.Hawakuwa waaminifu kwa agano langu;na hivyo mimi sikuwajali, asema Bwana.

Waebrania 8

Waebrania 8:3-13