Waebrania 13:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu wa amani awakamilishe katika kila tendo jema ili mtekeleze matakwa yake; yeye na afanye ndani yetu kwa njia ya Kristo yale yanayompendeza mwenyewe. Utukufu uwe kwake, milele na milele! Amina.

Waebrania 13

Waebrania 13:13-25